Jeremiah 8:14


14 a“Kwa nini tunaketi hapa?
Kusanyikeni pamoja!
Tukimbilie kwenye miji yenye maboma,
tukaangamie huko!
Kwa kuwa Bwana, Mungu wetu
ametuhukumu kuangamia,
na kutupa maji yenye sumu tunywe,
kwa sababu tumemtenda dhambi.
Copyright information for SwhKC